Mgombea uraisi wa tiketi ya ccm h john pombe magufuli ameonekana akijipiga doso mwenyewe katika kampeni sake
"Napiga HV ilikuwaonesha watanzqnia kuwa Nina nguvu"
Hee kwani sis I wananchi 2nataka kiongozi waku2bebea magunia??
Uongozi no husara na hekima
Kama ulikosa hekima pale kigamboni na ukawasusa wananchi iweje Leo?
Ikiwa wanakigamboni uliwashindwa ukajaa nyembe nakuwaambia waogelee
Wawezaje kuongoza nchii
Sindo utajaa nyembe name kutuambia tukishindwa kulipa nauli ya Sumatra tutembee kwa miguu!!
Jumatano, 23 Septemba 2015
Magufuli ajipiga Doxo
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni