Jumamosi, 24 Oktoba 2015

THE VICTORY IZ COMING TOMORROW kama ukiikana nafsiyako nakuamua kufanya maamuzi yabusara. Uzima kwanza chama baadae fatilia mhojagodlove.blogspot.com

VITU UINAVYONIFANYA MIMI NISIMPATIE KURA YANGU TABASAM

1. NIMWANACHAMA WA CCM MPAKA SASA .kitendo cha basi la wasanii la ccm wiki iliyopita kujaza mafuta katika sheli litre 300 na bila hata kulipa na yey tabasam kupanda ndani ya gari na kuwasalimia na kuwatakia safari njema
2. UGAIDI NA UBABE ALIONAO. Kit
endo alichokifanya tabasam cha kumtishia MNWANIZI mgombea udiwan kwa bastola hii ni kwel kwanba hafai
4.DHURUMA .Kama kwel tabasam kaweza kuwadhurum waislamu wenzake shule na pia kumdhurumu shejamabu kwa kuhonga pesa akishirikiana na ngereja ili jina la sheja likwate atashindwaje kudhurum raia wa kawaida
5.SIMGOMBEA HALALI WA UKAWA. Kitendo cha kutokuwepo jina lake katika nyaraka za ukawa na hata katika kitabu cha lowasa na Mbowe kutokumnadi katika kampeni za mnadani na hat lowasa kutomtaja jina ni picha tosha kuw hatambuliki na ukawa na anayetambulik ni shejamab
6.HANA HEKIMA NA BUSARA .
Pigia SHEJAMABU

      Namgombea anaekubalika kwa Sera zilizoenda should hakusita kusema alipo zungumza Na mimi hakua Na mengi said I yakuomba kura.  
""""Mimi Francisco kimasa shejamabu  mgombea ubunge jimbo la sengerema ninaomba siku ya kesho tareh 25 unipigie kura yako ili niweze kuyawakilisha mawazo yenu wananchi bungeni naomba usifanye kosa kwani ni siku ya kuamua hatima yako kwa miaka 5 katika miundombinu,maji,madawa hospitalini,ufugaji,elimu na hata kilimo pia amua vyema kwa maendeleo ya jimbo letu chagua SHEJAMABU mcha mungu sengerema kwanza vyama badae.""""
SAMBAZA UJUMBE HUU Francisco kimasa shejamabu

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni